Subscribe:

Ads 468x60px

Labels

March 11, 2012

Ben Pol - Samboira (Official Video) kichupa kipyaaaaaaaaaa

@KIJITONYAMA POSTAL GROUND

@KIJITONYAMA POSTAL GROUND

Aloy & Sandrah Temu watangazaji kutoka TIMES FM  

Kama umeiona video ya Suma Lee HAKUNAGA basi huyu jamaa atakuwa sio mgeni machoni mwako 

Vijana kutoka Fullbata 

Kuna haja ya utambulisho jamani??? wanyama wenyewe wako FULL 

1B kutoka TIMES FM na Dj Ziro kutoka CLOUDS FM 

 Tinny Dad na Ommy Dimpozi

Dully Sykes na nduguze 

Suma Lee na nduguze 

katikati ni Juma Nature na Kiboya kiganja cha SOKWE 

TIP TOP Connection 

Mmmmh 

 Dully Sykes akiwa na Araphat Ngumi Jiwe

Jossy Bless & Regi 

Maproducer wawili wakali, kushoto ni Hermy B kutoka B'hits na Jossy Bless kutoka Sababisha Rec 

 my brother Dagma

Aliyesimama katikati ndio BOSS mpya wa Dully Sykes

March 07, 2012

** Eish! Exclusive** - Gentleman - PUNIT & SAUTISOL (Official Video)


DJ CLEO NDANI YA BONGO JUMAMOSI HII>>>>>>

Yule mkali wa kwaito kutoka South Africa DJ Cleo anatarajia kupiga show yake hapa siku ya Jumamosi ya tarehe 10 mwezi huu. DJ Cleo anayetamba na hit song kibao kama Wena ng' Hamba Nawe, Akulalwa, Mind ckuf pamoja na Facebook ambayo ndio imewateka wakazi wengi wa kibongo na dunia kwa ujumla. Wasanii wakibongo watakaosindikiza show hii ni pamoja na Suma Lee, Ommy Dimpozi, Dully Sykes, Chege & Temba, Juma Nature, Tip Top Connection, Linex na wengine kibao.

Show hii itafanyika pale Kijitonyama kwenye viwanja vya posta na nimeambiwa kiingilio kitakuwa shilling elfu 10 kwa kichwa, so wale wapenzi wa DJ Cleo na wapenzi wa kwaito hii sio yakukosa

NEW TRACK: Cyrill ft Jux - NIVUMILIE

NEW TRACK: Cyrill ft Jux - NIVUMILIE

Neno toka Ubelgiji kwa Abdul wa Maisha Plus (No Place like home)

Home is where my heart resides.....
Watanzania wenzangu, tumshukuru muumba kwa kutujalia nchi nzuri yenye
amani na utajiri wa maliasili ambao tumeajliwa.
Tuliombee pia taifa liondoke katika shida ya migomo, mafisadi, mgao wa
umeme, magonjwa, maafa na taabu zote za dunia.

Haijalishi nipo wapi sasa hivi, my heart is at home.
MUNGU IBARIKI TANZANIA

Abdul Hafidh a.k.a Abdul wa Maisha Plus
Brussels, Belgium

Chris Brown Should've Kissed You Lyrics

Why Am I mad, I don't get it,
It seems like every time you give me signs,
And I miss it!
I did it again,
I admit it,
I left you standing there,
And now I regret it,
Seems like every time,
I get the chance,
I lose my cool, and I blow it,
And I get all tongue tied,
Lost in your eyes,
I'm a fool, and I know it!

[Chorus:]

I should've kissed you,
I should've told you,
Told you just how I feel,
And next time I won't stop,
I'll listen to my heart,
Cause what I feel is real!
I should've kissed you,
I should've told you how I feel,
I should've kissed you,
I should've showed you just how I feel

Now why didn't I

Give you my two cents,
A million reasons why I should have,
And it makes no sense,
So here I am,
By myself again,
Stopping for green lights, and I know,
I wanna be more than friends,
How come every time I get the chance
I lose my cool and I blow it,
And I get all tongue tied,
Lost in your eyes,
I'm a fool and I know it!

[Chorus:]

Hey,
I should've kissed you,
I should've told you,
Told you just how I feel,
And next time I won't stop,
I'll listen to my heart,
Cause what I feel is real!
I should've kissed you,
I should've told you how I feel,
I should've kissed you,
I should've showed you just how I feel!

So I turned the car around,

And you were right where I left you,
And your smile said you were feeling it too,
And the moon shined bright,
Cause when your lips met mine,
And yeah I finally got it right,
I'll be leaving with you tonight,
And I won't have to say,

[Chorus:]

I should've kissed you,
I should've told you,
Told you just how I feel,
And next time I won't stop,
I'll listen to my heart,
Cause what I feel is real!
I should've kissed you, Girl
I should've told you how I feel,
I should've kissed you,
I should've showed you just how I feel

Girl I should've kissed you,

I should've told you told you just how I feel,
And this time I won't stop,
Until I have your heart,
Cause what I'm feeling is real

Wiz Khalifa & Amber Rose Are Engaged

The two who have been going out for almost a year now just announced their engagement and Amber tweeted the diamond ring that sealed the deal.

AfroBino Presents "United Bongo Artists Music 4 Charity

AfroBino Presents "United Bongo Artists Music 4 Ch...

Page viewers